OFISI ZA RUDI
Founder of Rudi
MSASANI

 

 

 

 

 

 

 

 

 
partners
WADAU WA RUDI
 

Taasisi ya RUDI inatambua umuhimu wa kushirikiana na wadau mbalimbali kutoka sekta ya umma na binafsi wenye malengo ya kuendeleza biashara, kuongeza tija na thamani za bidhaa/ mazao uuganishaji masoko na kujenga uwezo kwa vikundi husika na kuendeleza uchumi mjini na vijijini.

Ili kutimiza malengo yake RUDI itafanya kazi na wafuatao:

  • Serikali ya vijiji, kata na halmashauri za wilaya/ miji
  • vikundi vya wajasiriamali/ wafanyabiashara, wakulima, wauza pembejeo, chemba za wenye viwanda na kilimo (TCCIA) na mashirika ya wakulima.
  • Vyombo vya fedha ikiwa ni pamoja na vyombo vya kuweka na kukopa, taasisi za fedha n.k
  • Wahisani
  • Mashirika yasiyo ya serikali ndani na nje ya Tanzania
  • Sekta binafsi, watoa huduma, wanunuzi wa mazao n.k
  • Mabaraza ya biashara ngazi ya wilaya na mkoa.
Tovuti hii imetengenezwa na Sohatel (T) Ltd © 2008 RUDI: Haki zote zimehifadhiwa